Mabaraza ya mitihani barani Afrika yameshauriwa kutumia mifumo ya kidijitali, uchanganuzi wa data na akili unde (AI) kubaini na kudhibiti udanganyifu wa mitihani unaozidi kuwa wa kisasa, ili kuboresha ubora wa elimu na kuzalisha wanafunzi wenye ushindani katika soko la ajira.

Back to Home
Afrika kugeukia teknolojia ya AI kuimarisha usalama wa mitihani
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
