Afrika Mashariki inazidi kujitokeza kuwa daraja la kimkakati linalounganisha Afrika na masoko ya dunia, huku mvutano wa kisiasa na kiusalama, mabadiliko ya minyororo ya ugavi na jitihada za kutafuta njia imara za biashara vikiendelea kubadili mwenendo wa uchumi wa dunia.

Back to Home
Afrika Mashariki yatajwa lango la biashara duniani
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
