Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imemhukumu kunyongwa hadi kufa, Ndisi Maswi baada ya kumkuta na hatia ya kusababisha kifo cha jirani yake, Suzana Zacharia kwa kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kumkata kwa sime.

Back to Home
Ahukumiwa kifo kwa mauaji ya jirani yake, akidai amemroga mkewe
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
