Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat) imekuja na mkakati wa kuwabana wazabuni wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ya ukusanyaji taka katika halmashauri 184 nchini, ikiwamo kuwazuia waliokiuka mikataba katika halmashauri moja kupata zabuni katika halmashauri nyingine.

Back to Home
Alat kuwabana wazabuni wanaoshindwa kuzoa taka
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
