Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limemtia mbaroni mkazi wa Kijiji cha Lyasongoro, Kata ya Marangu Mashariki, Emmanuel Mariki (28), kwa tuhuma za kumkata viganja vya mikono mfanyakazi wa ndani, Scola Benard (23), na kumjeruhi mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili.

Back to Home
Anayedaiwa kumkata viganja mfanyakazi wa ndani atiwa mbaroni
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
