Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limetangaza kuanza safari za ndege za abiria katika Musoma, mkoani Mara na Dar es Salaam na Mwanza, kuanzia Septemba 17, 2026, baada ya kukamilika kwa ukarabati na ujenzi wa miundombinu ya uwanja huo.

Back to Home
ATCL kuanza safari za Dar- Musoma Septemba 17
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
