Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemteua Leonard Msenyele kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza (Mwauwasa), miezi kadhaa baada ya kuvunja menejimenti ya mamlaka hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji na kiwango cha huduma ya maji jijini Mwanza.

Back to Home
Aweso amrejesha aliyemtengua mwaka 2023, ampa maagizo
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
