Mahakama ya Rufani imemwachia huru Abutwalib Salum, aliyekuwa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua binti yake mwenye umri wa miaka mitano na mwenye ulemavu wa viungo, ambaye mwili wake ulipatikana mtoni.

Back to Home
Baba aliyehukumiwa kifo kwa kumuua bintiye, aachiwa huru
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
