Vijana wanaojishughulisha na kilimo Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya wanatarajiwa kunufaika na fursa mpya za kiuchumi baada ya Halmashauri ya Wilaya hiyo kuanza mchakato wa kuainisha na kurasimisha maeneo yatakayotumika katika utekelezaji wa Mradi wa Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT).

Back to Home
BBT yawapa vijana Mbarali matumaini mapya
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
