Mkufunzi wa Shule ya Polisi Moshi (TPS), SP Emmanuel Eliuta, maarufu Mtatifikolo, amefariki dunia baada ya kugongwa na pikipiki wakati akifanya mazoezi ya mchakamchaka na askari wenzake.

Back to Home
Bodaboda ilivyosababisha kifo cha mkufunzi shule ya Polisi Moshi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
