Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa imepitisha ratiba na miongozo ya maandalizi ya uchaguzi wa ndani wa chama na jumuiya zake utakaofanyika mwaka 2027, huku pia ikipitisha Sera ya Jinsia na Ujumuishi ya mwaka 2026 inayolenga kuongeza ushiriki wa makundi mbalimbali katika uongozi na maendeleo.

Back to Home
CCM yapitisha ratiba uchaguzi wa ndani 2027
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
