Benki ya CRDB imefanikiwa kupata mkopo wa pamoja wa Dola 300 milioni za Marekani (Sh797 bilioni), kutoka taasisi za fedha za kimataifa, baada ya kuvutia ahadi za mikopo zenye thamani ya takribani Dola milioni 744.

Back to Home
CRDB yapata Sh797 bilioni kuongeza uwezeshaji, ufanisi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
