Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imeanza kutekeleza mkakati wa kuboresha upatikanaji wa maji na kupunguza mgawo katika maeneo inayohudumia kwa kuimarisha uwajibikaji wa watendaji na kutekeleza miradi ya kuongeza uzalishaji.

Back to Home
Dawasa yaja na mkakati kumaliza tatizo la maji
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
