Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani wani, Petro Magoti, ametoa matumaini kwa vijana wa wilaya hiyo wanaoshiriki mafunzo ya awali ya Jeshi la Akiba, maarufu Mgambo, kuwapa kipaumbele cha kwanza katika fursa mbalimbali za ajira pindi watakapohitimu kozi hiyo.

Back to Home
DC Magoti awaahidi ajira vijana wa Mgambo Kisarawe
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
