Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Julius Mtatiro amewataka wananchi waliokaidi agizo la kusitisha ujenzi katika eneo lenye mgogoro wa ardhi, kuondoa matofali yao kabla ya ubomoaji na kurejeshwa kwa eneo hilo kwa mmiliki halali.

Back to Home
DC Mtatiro atoa tahadhari kwa wavunjaji wa amri ya ujenzi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
