Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Juma Sweda, ameitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Njombe (Njuwasa) kuongeza kasi ya ufungaji wa mita za maji za malipo kabla (prepaid) ili kupunguza malalamiko ya wananchi kuhusu ankara zinazodaiwa kutokidhi matumizi halisi.

Back to Home
DC Sweda aitaka Njuwasa kuongeza kasi ya ufungaji mita za kidijitali
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
