Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imevitaka vyuo vikuu nchini kutumia akili unde, teknolojia na taaluma mbalimbali kufanya tafiti za kisayansi zitakazosaidia kupata suluhisho la matumizi, uzalishaji na usambazaji wa dawa za kulevya.

Back to Home
DCEA yasaka suluhu matumizi dawa za kulevya vyuoni
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
