Mtu mmoja amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi na lori, iliyotokea katika Kijiji cha Msembeta, kilichopo mpakani mwa Jiji la Dodoma na Wilaya ya Bahi.

Back to Home
Dereva afariki dunia, basi likigongana na lori Dodoma
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
