Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema mafanikio ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yanahitaji utekelezaji wenye ufanisi, akiwataka wataalamu wa mipango kuhakikisha malengo yaliyowekwa yanazaa matokeo yanayopimika, ikiwamo ukuaji wa uchumi.

Back to Home
Dk Mkumbo ataka matokeo ya mipango yaonekane
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
