Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewaagiza makandarasi wanaotekeleza miradi ya umeme mkoani Simiyu kuongeza kasi ya kazi kwa kufanya kazi usiku na mchana, ili kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na kuondoa tatizo la kukatika kwa umeme.

Back to Home
Dk Mwigulu atoa maagizo kwa makandarasi mradi wa umeme
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
