Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) imemtangaza Dk Ally Olotu kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa taasisi hiyo kuanzia Septemba 1, 2026, akichukua nafasi ya Dk Honorati Masanja ambaye ameiongoza kwa kipindi cha miaka 10.

Back to Home
Dk Olotu ateuliwa kuongoza IHI, akiwa na rekodi mapambano ya malaria
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
