Hatima ya Masumbuko Madata, aliyekuwa amehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kosa la mauaji ya mtoto mwenye ualbino, imebadilika baada ya Mahakama ya Rufani kubatilisha na kufuta hukumu hiyo.

Back to Home
DPP kuamua hatima ya aliyehukumiwa kifo miaka 15 iliyopita
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
