Kampuni ndogo na za kati (SMEs) zinazojihusisha na uchimbaji, biashara na huduma katika Sekta ya madini zimetakiwa kujiandaa mapema kuvutia mitaji kutoka kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, badala ya kutegemea zaidi mikopo ya benki.

Back to Home
DSE yafungua fursa za mitaji kwa kampuni za madini
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
