Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeanza kutafuta mwelekeo wa pamoja wa kukabiliana na changamoto zinazozikabili sekta za elimu na ajira, huku zikikubaliana kuimarisha mifumo ya elimu, kuboresha matokeo ya kujifunza na kuongeza uwekezaji kwa walimu.

Back to Home
EAC yaazimia kuoanisha elimu, soko la ajira
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
