Halmashauri mkoani Shinyanga zimeelekezwa kutumia mapato ya ndani kuongeza idadi ya vishikwambi shuleni, baada ya ongezeko la usajili wa wanafunzi kusababisha baadhi yao kujifunza kwa kupokezana vifaa hivyo.

Back to Home
Halmashauri Shinyanga zaelekezwa kuongeza vishikwambi shuleni
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
