Wananchi wa Kata ya Santilya na maeneo jirani katika Wilaya ya Mbeya wanatarajiwa kunufaika na huduma za upasuaji baada ya Kituo cha Afya Santilya kuanza kutoa huduma hiyo, hatua inayotarajiwa kupunguza safari za rufaa, gharama za matibabu na kuchelewa kupatiwa huduma za dharura.

Back to Home
Hawa Mathias
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
