Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Mtwara, imemtia hatiani Zawadi Ally kwa kosa la kumuua baba yake mzazi bila kukusudia, baada ya kutokea ugomvi baina yao kuhusu fedha za kununulia mbegu za ufuta. Chini ya vifungu vya 195 na 197 vya Kanuni ya Adhabu.

Back to Home
Hela za mbegu za ufuta zilivyosababisha kifo
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
