Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, ameshinda uchaguzi wa urais na kupata muhula wa pili wa miaka mitano, katika ushindi unaompa nafasi ya kuendeleza mpango wake wa kurekebisha uchumi uliokuwa ukikabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni.

Back to Home
Hichilema ashinda tena urais Zambia
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
