Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu, Robert Makaramba amesema Tanzania ina mapengo katika sheria na mifumo ya utoaji haki yanayohitaji kufanyiwa marekebisho ili kuendana na mazingira ya sasa na mahitaji ya wananchi.

Back to Home
Jaji Makaramba: Sheria zetu zinawaacha waathirika wa ukatili njiapanda
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
