Jeshi la Uganda (UPDF) limekabidhi msaada wa Dola 20,000 za Marekani (Sh52 milioni) kwa kituo cha watoto cha SOS Children’s Village kilichopo Unguja, Zanzibar, kwa ajili ya ujenzi wa ukuta wa usalama wa kituo hicho.

Back to Home
Jeshi la Uganda latoa Sh52 milioni kuimarisha usalama kituo cha SOS Zanzibar
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
