Mvutano wa kiuongozi ndani ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Mkoa wa Tabora umeendelea kushika kasi baada ya katibu wa chama hicho mkoani humo, Edward Msabaha kupinga uamuzi wa kutenguliwa katika nafasi yake na kufutiwa uanachama.

Back to Home
Katibu Chaumma Tabora apinga kufutwa uanachama, uongozi wamjibu
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
