Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) imeanza kutoa matibabu bure kwa watu wanaong’atwa na nyoka wenye sumu ili kuhakikisha waathirika wanapata matibabu kwa wakati na kupunguza vifo vinavyoweza kujitokeza kutokana na madhara ya sumu.

Back to Home
KCMC kutoa matibabu bure kwa wanaong’atwa na nyoka
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
