Wakati wanawake wengi huamini maumivu ya tumbo wanapopata hedhi ni jambo ya kawaida, Daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), Dk Tecla Lyamuya, ameonya maumivu hayo si ya kupuuzia.

Back to Home
KCMC: Maumivu makali ya hedhi si ya kupuuzwa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
