Mahakama ya Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, imemhukumu Yusuph Mlango (26), mkazi wa Kawetere, Wilaya ya Rungwe, kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa kilo 2.9.

Back to Home
Kijana ahukumiwa miaka 30 kwa kusafirisha bangi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
