Safari ya mwisho ya msanii wa sanaa ya katuni maarufu nchini, Kinyanguli Tunzo, maarufu King Kinya, imehitimishwa leo Ijumaa, Septemba 18, 2026, baada ya mwili wake kuzikwa katika makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa, jijini Dar es Salaam.

Back to Home
King Kinya azikwa Dar akiacha simulizi ya kipaji chake
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
