Enzi zile za miaka kumi ya Uhuru, tulipata kusoma kitabu cha mmoja wa waandishi bora wa Afrika waliokuza Kiingereza chetu cha “kuombea maji”, kilichoitwa No Longer at Ease, nasi tukakitafsiri kwa “Kimasai” chetu kuwa, “Hamkani Sio Shwari Tena.”

Back to Home
KONA YA MSTAAFU: Inapokuwa 'hamkani si shwari' tena kwa Mstaafu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
