Mtu atakayekutwa akitupa taka hovyo, ikiwamo karatasi la pipi au ganda la ndizi, katika Jiji la Dar es Salaam anaweza kutozwa faini ya Sh300,000 hadi Sh1 milioni au kufungwa kwa mujibu wa Sheria Ndogo ya Usafi na Mazingira ya mwaka 2024.

Back to Home
Kutupa karatasi la pipi, ganda la ndizi faini Sh1 milioni Dar
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
