Wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi akiiwakilisha Tanzania kwenye mkutano wa Umoja wa Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM), wataalamu wa siasa na diplomasia wamesema chombo hicho bado ni muhimu hasa katika zama hizi za ushindani wa kiuchumi.

Back to Home
Kwa nini NAM ni muhimu kwa nchi wanachama, Dk Mwinyi akiiwakilisha Tanzania
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
