Kampuni za usafirishaji wa abiria ambazo awali zilikuwa zikitoa huduma ya kupakia na kushusha abiria katika vituo vyao vilivyopo katikati ya Jiji la Tanga, zimeanza kutumia Kituo Kikuu cha Mabasi cha Kange kwa huduma hizo.

Back to Home
Mabasi yaanza kutumia Kituo Kikuu cha Kange, Tanga
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
