Madereva wa taksi mtandao wameiomba Serikali kuweka mfumo maalumu wa kuwapokea na kuwashusha abiria katika viwanja vya ndege na vituo vya SGR, wakisema licha ya kuwa na vibali vya kufanya kazi, wamekuwa wakikamatwa wanapojaribu kutoa huduma katika maeneo hayo.

Back to Home
Madereva taksi mtandao walia ukamataji Airport na SGR, Waziri atoa maagizo
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
