Majaji Wakuu wa nchi 17 wanachama wa Jumuiya ya Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki mwa Afrika (SEACJF), wanatarajiwa kukutana Zanzibar Oktoba mwaka huu, katika mkutano unaolenga kujadili changamoto za kisheria na kubadilishana uzoefu wa utoaji wa haki.

Back to Home
Majaji Wakuu wa nchi 17 kujifungia Z’bar, kujadili utoaji haki
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
