Majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), yameanza kutoa huduma mbalimbali za kijamii na kibinadamu kwa wananchi wa Tanzania ikiwemo matibabu ya bure kutoka kwa madaktari bingwa wa nchi za Burundi, Somalia, Tanzania, Rwanda, Kenya, na Uganda.

Back to Home
Majeshi Afrika Mashariki kutoa huduma hizi Tanzania
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
