Wananchi wa Jimbo la Maswa Magharibi, wameiomba Serikali kuanzisha halmashauri inayojitegemea, kutokana na umbali mrefu wa kufuata huduma katika makao makuu ya Wilaya ya Maswa.

Back to Home
Maswa Magharibi waomba halmashauri mpya
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
