Harufu mbaya, mifuko na chupa za plastiki za vinywaji zinazozagaa katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Maswa mkoani Simiyu, zimekuwa kero kwa wakazi na wafanyabiashara, huku baadhi wakitaka mamlaka kuchukua hatua za haraka kukabiliana na tatizo hilo.

Back to Home
Maswa yazongwa na uchafu
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
