Wakati utamaduni wa kwenda hospitalini kupima Virusi vya Ukimwi (VVU) ukipungua taratibu huku vijana wengi wakitumia vipimo vya haraka vya kujipima (rapid tests), wataalamu wa afya wanaonya kuwa matokeo hasi ya vipimo hivyo si kibali cha kuacha kutumia kinga.

Back to Home
Matokeo hasi VVU si tiketi ya kuacha kinga, wataalamu waonya
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
