Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezindua Programu ya Mining for a Brighter Tomorrow (MBT), maarufu kama Kesho Iliyo Njema, akisema inalenga kufungua fursa na kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye mahitaji maalumu kushiriki kikamilifu katika sekta ya madini.

Back to Home
Mavunde azindua ‘Kesho iliyo njema’ kwa vijana wachimbaji
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
