Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Mpoki Thomson, amesema ni muhimu kujenga mazingira yatakayowezesha vyombo vya habari kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia, huku vikilinda uhuru wa ubunifu na kuimarisha upatikanaji wa taarifa kwa wananchi.

Back to Home
MCL: Uhuru wa ubunifu ni muhimu zama za kidijitali
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
