Wadau wa mnyororo wa thamani wa sekta ya maziwa, wakiwemo wafugaji na wasindikaji, wanatarajiwa kupata fursa za masoko kupitia mfumo na mtandao wa kidijitali wa Maziwa Hub, ulioundwa kuwaunganisha wadau wa sekta hiyo katika sehemu moja na kuwawezesha kupata taarifa za soko, bei na mahitaji ya bidhaa kwa wakati.

Back to Home
Mfumo wa kidijitali wa Maziwa Hub kuwanufaisha wafugaji
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
