Kwa mfanyabiashara mdogo, siku haianzi na simu pekee. Huenda ikaanza kwa kukagua bidhaa zilizobaki kwenye rafu, kuhesabu fedha za mauzo ya jana, kuwasiliana na msambazaji na kuamua bidhaa gani zinapaswa kuongezwa.

Back to Home
Mitandao ya simu inavyogeukia wajasiriamali, dijitali ikishika hatamu nchini
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
