Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Betrice Kalawa (45), mkazi wa Kijiji cha Malangali, Wilaya ya Wanging’ombe, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mumewe, Peter Mbunduzi (55), aliyefariki baada ya kupigwa kichwani kwa kitu kizito.

Back to Home
Mke mbaroni kwa akituhumiwa kumuua mumewe
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
